Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto
    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (01)

    Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2025

    AFCON

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Kocha atakaye kuchukua jukumu la Crystal Palace dhidi ya Arsenal ametajwa baada ya kutimuliwa kwa Vieira
    Biriani la Ulaya

    Kocha atakaye kuchukua jukumu la Crystal Palace dhidi ya Arsenal ametajwa baada ya kutimuliwa kwa Vieira

    Brenda UlomiBy Brenda UlomiMarch 18, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    KLABU ya Crystal Palace imemtaja kocha atakayesimamia mchezo wao wa Ligi Kuu ya Uingereza dhidi ya Arsenal wikendi hii kufuatia kutimuliwa kwa Patrick Vieira siku ya Ijumaa.

    Kulingana na talkSPORT, nahodha wa zamani wa klabu hiyo, Paddy McCarthy atakuwa msimamizi wa safari yao ya Uwanja wa Emirates siku ya Jumapili.

    Klabu hiyo ilitangaza kuwa McCarthy, ambaye ndiye kocha wa sasa wa Vijana wa U-21, ataungana na kocha msaidizi wa U21 Darren Powell watakapowatembelea viongozi wa ligi.

    Kocha wa makipa, Dean Kiely, ambaye hakuwa miongoni mwa wakufunzi wa Vieira waliofukuzwa kazi pamoja na Mfaransa huyo, pia atafunga safari.

    McCarthy aliongoza mazoezi ya kikosi cha kwanza siku ya Ijumaa asubuhi lakini Palace haijatoa habari zaidi kuhusu nani anaweza kumrithi Vieira kwa misingi ya kudumu baada ya mapumziko ya kimataifa.

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua
    Hadithi February 2, 2026

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (01)

    Ilipoishia SEASON 1  Kwasasa nimerudishwa kwetu Dar-es-salaam, niko Magomeni. Maisha yangu yamekuwa ya  Ukimya sana,…

    Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2025

    AFCON

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.