Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Saba-07)

    Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Sita-06)

    Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Tano-05)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home ยป Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Sita-06)
    Hadithi

    Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Sita-06)

    Kaka MkubwaBy Kaka MkubwaMay 17, 2025Updated:May 19, 20258 Comments11 Mins Read2K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Tano

    “Ahsante Jirani, ndio ukubwa huu”ย 

    “Lakini Veronica unatakiwa kuwa makini sana na Mama yako!”

    “Kwanini?”ย 

    “Mama yako ana sifa mbaya hapa mtaani, inasemekana yeye naย  Kaka yake wanashiriki ushirikina”ย 

    “Unamaanisha Mama yangu ni Mchawi?”ย  Endelea

    SEHEMU YA SITA

    “Ndio, mtaa mzima unalijua hilo ndio maana nakutaka uweย  makini kujiepusha na uovu dhidi yako, hushamgai jinsi maishaย  yenu yalivyobadirika?” Ilinibidi nikae mkao, maana tulikuwaย  tukipiga stori kibarazani kwa yule jirani ambaye ni mdadaย  aliyenizidi umriย 

    Maneno yake yakaanza kuniingia akilini, nilipokumbuka kuhusuย  lile shuka lenye damu ya bikra yangu ndio nikaanza kuyaaminiย  kabisa yale maneo na jinsi ambavyo Nyumba yetu ilikuwaย  imekarabatiwa na kuwa nzuriย 

    “Kwahiyo mtaa mzima hizi habari zimeenea?”ย 

    “Muulize yeyote atakwambia na kama atakuficha basi ni kwaย  woga tu lakini ndio hivyo, tena inasemekana wewe ndio hazinaย  yao”ย 

    “Mimi hazina kivipi?”ย 

    “Veronica hayo mengine ni bora uyachunguze maana usikute niย  maneno tu ya Watu”ย 

    Nilitafakari kwa kina lile jambo, nikaona sio bure lipo jamboย  linaloendelea kati ya Anko Sanga na Mama yangu! Nilipoinuaย  macho yangu nilimuona Mama akinitazama! nilitabasamu kamaย  vile hakuna kilichoongelewa kisha akaniita.ย 

    “Jirani baadaye!”ย 

    Nilienda nyumbani, Mama alinikalisha sebleni na kuniambiaย 

    “Kuwa makini na hawa watu wa hapa, ni wambea naย  wachonganishi. Usikute wanakuonea wivu huo ujauzito!”ย 

    “Aah! Mama jamani hapana”ย 

    “Sasa alikuwa anakwambia nini pale zaidi ya umbea maanaย  nimewatazama muda mrefu”ย 

    “Tulikuwa tunaongelea mambo ya zamani tu, alikuwaย  akinikumbusha mambo yaliyopita”ย 

    “Anhaa! kumbe”

    “Mama nataka Jonas aje huku maana nabakia peke yanguย  unapokuwa haupo, inanipa shida sana” Mama alitafakari kwaย  sekunde kadhaa kisha akaniambia sawa!ย 

    Nilimpigia simu Jonas na kumwambia asafiri kuja Arusha kukaaย  na mimi hadi pale nitakapojifungua. Wakati naongea na Jonasย  Anko Sanga alikuwa akipokelewa na Mama nje, nilipoendaย  kuchungulia ndio nikamuonaย 

    “Kuna nini?” Aliniuliza Jonas baada ya kuniona nimezubaaย  kwenye simuย 

    “Anko Sanga yupo nje”ย 

    Simu ilipokatika nilimsalimia Anko Sanga, Mama akapelekaย  mabegi ya Anko Sanga chumbani kwake, ilinipa mashaka kidogoย  ya kwanini yale mabegi yapelekwe chumbani kwa Mama na sioย  kwenye chumba kingine?ย 

    Nilishusha pumzi na kujisemea nitajua mwisho wa hili jambo niย  nini!ย 

    Mama aliandaa chakula kizuri sana siku hiyo, alifanya kaziย  zote huku akinitaka nipumzike maana uchovu ulikuwaย  ukinitawala mara kwa mara, alitengeneza na juisi ya matunda,ย  tulikula kwa pamoja baada ya pale nilielekea chumbani kwanguย  kulala.ย 

    Kabla sijapitiwa na usingizi niliongea na Jonas akaniambiaย  kesho yake ndio ataanza safari ya kuja Arusha kamaย  tulivyoongea.ย 

    Nililala hadi majira ya Usiku, nilipoamka nilikuta Missedย  Call nyingi sana, zilikuwa ni missed Call za yule jiraniย  maana alinipatia namba ili kama kuna tatizo niweze kumjulishaย  anisaidie!ย 

    Kwakuwa nilikuwa mchovu sana nilisubiri nioge kwanza ndipoย  niwasiliane nae, nilipomaliza nilimpigia lakini hakupokeaย  simu.ย 

    Asubuhi Mapema nilienda kwake kumuulizia lakini niliambiwaย  amepelekwa Hospitali baada ya kuanguka ghafla Usiku, akiliย  ikarudi kwenye zile Missed Calls nikajua pengine alikuwa naย  tatizo kubwa ndio maana alinipigia.ย 

    Nilijivuta hadi nyumbani, Mama ndio kwanza alikuwa akiamkaย  akaniuliza kama usiku nilisikia kelele za Jirani nikamwambiaย  hapana akasema Jirani alikuwa akipiga kelele akaanguka naย  kupoteza fahamu, sikutaka kumuuliza zaidi.

    Niliendelea na shughuli zangu, Mama aliniaga akaondokaย  nikabakia na Anko Sanga pale nyumbani, wakati Mama ananiagaย  nikasema wasije wakawa wamepanga njama nyingine hawa?ย  Aliniacha nikiwa nimekaa sebleni, alipoondoka tu Mama Ankoย  Sanga alikuja pale sebleni akanikuta nimejilaza zangu kwaย  kujiachia maana uajuzito ulinipelekesha mno.ย 

    Alinisalimia lakini sikumchangamkia maana niliogopa asjieย  akanifanya jambo baya!ย 

    “Naona umekaa hapo kwa raha zako Anko?”ย 

    “Eeh! nimechoka tu napumzika hapa”ย 

    “Hivi Mumeo anakuja lini?”ย 

    “Naamini Mama amekueleza kuwa ni leo!”ย 

    “Hapana hatujaongelea jambo hilo kabisa, nilipokuonaย  nimekumbuka Mlima Kilimanjaro”ย 

    “Anko Usinitibue! usinikumbushe mambo niliyoyasahau hataย  kidogo” nilisema kwa ukali, sikutaka mazoea nae kabisaย 

    “Hasira za nini Veronica? Huutaki tena huu?” alichojoa tauloย  lake na kunionyesha Dudu lake refuย 

    “Hivi Anko una nini wewe? Baada ya yote uliyonifanyia unatakaย  kunidhihirishia kuwa wewe ni mshenzi si ndio?”ย 

    “Uko wapi ushenzi wangu Veronica? kila nikikumbuka jinsiย  nilivyoutoa usichana wako najikuta nikiwa na raha sana, Jonasย  anabakia kuwa Mwanaume wako wa pili baada yanguย  mimi…husikii raha?”ย 

    “Kwa jinsi ulivyo shetani unaongea upumbavu mbele ya Mtoto waย  Dada yako, kimekuleta nini hapa?”ย 

    “Nimekuja kwa ajili yako Veronica, nimekuja kupigania penziย  langu kwasababu inawezekana hicho kiumbe ni changu na sio chaย  Jonas”ย 

    “Ishia hapo hapo tena ushindwe na ulegee kwa jina la Yesuย  Kristo” Mara Mama akawa ameingia wakati huo Anko Sangaย  alikuwa amerudi Kuketi kwenye Sofa akiwa amevalia Taulo naย  tisheti nyeusi.ย 

    “Eeh! ndio unaamka Kaka?”

    “Ndio yaani nimechoka kweli kweli, nilikuwa naongea na Bintiย  yangu hapa”ย 

    “Haya ngoja niandae chakula cha mchana” Yalikuwa ni maneno yaย  Mama yangu aliyekuwa amebeba Mfuko, akaingia zake Jikoni.ย 

    Simu ya Jonas ndiyo ilinifanya niache kuwafikiria Mama naย  Anko Sanga, Jonas alikuwa tayari amefika Arusha kwa ndege,ย  nilifurahi kusikia Jonas amefika Arusha angalau niliuonaย  Mwangaza wa uhai wa maisha yangu na Mtoto wangu!ย 

    Nilimpokea Jonas kwa bashasha zote hadi chozi lilinitokaย  akaniuliza ni kwanini ninalia, nilimjibu nina furaha sana.ย 

    Nilimkumbatia na kumpiga mabusu kama yote. Mama hakuonyeshaย  chuki dhidi ya Jonas kabisa, wala Anko Sanga hakuonyeshaย  chuki kwa Jonas, waliongea kama Watu wazuri wenye malengoย  mema ya ndoa yetu.ย 

    Usiku ulipoingia kila kitu kikawa kimebadirika, wakati Jonasย  anatoka chooni alikutana na Mama, akamwambia waende sebleniย  kuzungumza. Jonas alipotaka kuingia chumbani ili avae vizuriย  Mama alimzuia na kumwambia haina shida.ย 

    Usiku huu nilikuwa chumbani nachezea simu yangu nikiwaย  ninamsubiria Jonas arudi kutoka bafuni, niliona akikawiaย  kurudi.ย 

    Walipofika Sebleni Mama alimtaka Jonas akae kwenye sofa naeย  alifanya hivyo hivyo, mazungumzo yao yalianza. Mamaย  alimueleza Jonas aniache kwasababu hakuwa chaguo lakeย 

    “Nawezaje kumuacha Mtu ninayempenda Mama?”ย 

    “Unampenda sawa lakini wewe sio chaguo langu kumuoa bintiย  yangu, nilifanya vile ili tu kumridhisha huku nikitambua niniย  cha kufanya”ย 

    “Mama unakosea sana! Veronica ndio chaguo langu sahihi naย  tunapendana sana hata wewe ni shuhuda wa hili” Wakati waoย  wakiendelea kuongea sebleni, Mlango wa Chumba changuย  ilifunguka kwa taratibu, taa ilikuwa imezimwa hivyo nilihisiย  atakuwa ni Jonas, Kumbe alikuwa ni Mjomba Sanga akiwaย  amevalia bukta tuu.ย 

    Niliendelea kuchezea simu lakini kilichonishtua ni manukato,ย  nilitambua kuwa aliyeingia hakuwa Jonas bali ni Anko Sanga,ย  alikuwa ameshikilia kisu mkononi akinitaka nifanye naeย  Mapenzi.

    “Ukipiga kelele nakuuwa hapahapa” Alisema hivyo huku akiwaย  ameniziba mdomo.ย 

    Mapigo ya moyo yalienda mbio sana, Aliponiachia nilihema juuย  juuย 

    “Anko usinifanyie hivyo tafadhali, Mume wangu yupo hapaย  utanisababishia matatizo”ย 

    “Nimesema ukipiga kelele nakuuwa hapa hapa” alizidi kunitishaย  na kunifanya niwe muoga, nilifikiria nikaona nisiwe mbishi!ย  Nilimfunulia ili afanye anachojisikia kunifanya.ย 

    “Hivi unawezaje kumg’ang’ania Mtu anayempenda mwingine?”ย  Alisema Mama akijua fika kuwa Anko Sanga alikuwa kuleย  Chumbani akinifanya na ujauzito wangu!ย 

    “Unamaanisha nini?” Jonas alikuwa amesimama ili aondokeย  lakini ile kauli ilimsubirisha alitaka asikieย ย 

    kilichomaanishwa kwenye ile kauli ya Mamaย 

    “Wewe ni kijana mzuri, unapesa unatakiwa kuwa na Mtu sahihiย  lakini sio Veronica kwasababu anampenda Mtu mwingine, hataย  ule ujauzito sio wa kwako bali ni wa Huyo Mtu” alizidiย  kukipalia makaa ya moto kichwa cha Jonas.ย 

    “Wewe hustahili hata kuitwa Mama, huwezi kuongea kauli hizoย  kwa Mkweo”ย 

    “Haya nenda huko chumbani ndio utaamini Maneno yangu”ย 

    “Sidhani kama nitakuheshimu tena” Alisema Jonas huku akijaย  Chumbani ambako Anko Sanga alikuwa akinifanya kwa lazimaย 

    “Tutaona kati yangu mimi na wewe ni nani anastahili pongeziย  kwenye hili” Aliongea Mama kwa sauti ya kumsindikiza Jonasย  chumbani, akiwa ameshikilia kitasa aligeuka na kumtazama Mamaย  kisha aliingia mle chumbani, akasikia purukushani ikambidiย  awashe taa sasa.ย 

    “Veronica?” aliita kwa mshangao na mshituko mkubwa akiwaย  ananitazama nikiwa nafanywa na Anko Sanga, kuona vile Ankoย  Sanga akakimbiaย 

    “Veronica nini hii?” Aliuliza tena Jonas akiwa ametahamakiย  kweli kweli, nilikuwa nikilia tu kitumbo kikiwa kimetuna

    “Nilikwambiaje?” Sauti ya Mama ilisikika, yaani Mama aliamuaย  kunionesha chuki za waziwazi, kilio kiliongezekaย 

    “Ahsante sana! Nahangaika kwa ajili yako kumbe una Mtuย  unayempenda na kumpa penzi popote atakapo, uliniita huku iliย  unioneshe ushenzi wako” Aliongea Huku akitia baadhi ya vituย  vyake katika begi, kiukweli ile aibu sikuwahi kuipata katikaย  Maisha yangu! Sikuwa na ujasiri wa kuongea hata kujitetea.ย 

    Jonas aliondoka zake usiku uleule, aliniacha katika giza naย  dimbwi la mawazo, sikupata usingizi nilikesha nikilia Usikuย  kucha hadi kulipo pambazuka. Anko Sanga aliingia chumbaniย  asubuhi, alinikuta bado nikiwa ninalia kwa uchunguย 

    “Pole sikujua kama ingelikuwa hivi Veronica”ย 

    “Hivi nyie ni Watu au majini? mbona siwaelewi ni ndugu zanguย  kweli ninyi au mliniokota huko na kunilea, Wewe na Mama niย  wakunifanyia hivi kweli?” Nilisema hakunijibu, Mara Mamaย  akaingia na kutukuta tukiwa chumbani.ย 

    “Mpango wenu umeenda sawa leo, lakini ipo siku hautaenda kamaย  mnavyotaka ninyi” Nilimwambia Mama, Chakushangaza akaniambiaย  sitakiwi kutoka ndani kuanzia muda uleย 

    “Chochote mtakachopanga dhidi yangu hakitafanikiwa, hivi Mamaย  kweli unanifanyia hivi binti yako?”ย 

    Mama aliondoka na Anko Sanga wakiwa na siri kubwa yaย  wanachonifanyia lakini Jirani alishanidokeza kuwa Mama yanguย  alikuwa Mshirikina, kila Anko Sanga alivyofanya mapenzi naย  mimi alikuwa akizidi kutajirika.ย 

    Hakujali kama nilikuwa mjamzito alinifanya atakavyo ili tuย  awe tajiri na hizo pesa waligawana na Mama yangu Mzazi,ย  wakati mwingine alinifanya Mama akishuhudia kila kitu,ย  ilikuwa ni laana iliyovuka mipaka. Sikuwa na guvu ya kumzuiaย  Anko Sanga na wala sikutaka kupiga makelele kwa kuhofiaย  kujidharirisha.ย 

    Simu zangu walizichukua ili nisiwasiliane na yeyote yule,ย  walinipa vitisho kuwa nikipiga kelele wataniuwa. Maishaย  yalibadirika sana, Mama na Anko Sanga wakawa matajiri sana.ย 

    Ulipofika muda wa kujifungua nilijifungua mtoto wa kikeย  niliyefanana nae sana, nilimpa jina la Moyo, nilimlea Mtotoย  wangu mwenyewe.

    Mchezo wa Anko Sanga haukufikia kikomo kabisa, alilala naย  mimi kila siku ili azidi kuwa tajiri. Alinichukua nikawaย  naishi kwake, Mama yangu ni kama vile alikuwa amerogwa naย  pesa alinihimiza sana kumpa penzi Anko Sanga, Mtotoย  alipofikisha miezi mitatu nilipata wazo la kutaka kutorokaย  nyumbani kwa Anko Sanga ili nimtafute Jonas.ย 

    Nilimkubalia Anko Sanga kuwa tufunge ndoa ili niwe Mke wakeย  na nilifanya hivi ili tu anianini na anipe uhuruย 

    “Umefikiria nini Veronica?” aliniuliza nikiwa nambembelezaย  Mtotoย 

    “Tutaishi hivi hadi lini? ni bora tuwe Mke na Mume” Alifurahiย  sana, akampa taarifa Mama kuwa nimekubali kuolewa na Ankoย  Sanga.ย 

    Mama kwa Ujinga wake alichekelea sana kusikia hivyo,ย  walichotaka ni kutimiza mambo yao ya utajiri.ย 

    “Hii harusi ikafanyikie mbali na hapa Arusha” alitoa wazoย  Mamaย 

    “Kwanini?” niliulizaย 

    “Naona ndio itapendeza sana” wazo la Mama lilipita bilaย  kupingwa na yeyote, nilichotaka ni kuwa Mke wa Anko Sanga naย  kumuaminisha kuwa nilikuwa na mapenzi naye ili tu anipe uhuruย  nitoroke maana sikuwa na simu na wala sikupata ruhusa yaย  kwenda popote zaidi ya kukaa ndani kwenye jumba lake laย  kifahari.ย 

    Basi, ndoa ilifungwa baada ya wiki mbili tu na nikawa Mke waย  Anko Sanga huku nikiwa na mawazo ya nini cha kufanya. Nilimpaย  penzi atakavyo tena nilikuwa nikimuomba mwenyewe, kilaย  alipotaka kuniingilia alipaka mafuta maalum kwenye Dude lake,ย  tena wakati mwingine nilimuhimiza kupaka hata aliposemaย  tufanye bila kupaka mafuta.ย 

    “Veronica sasa hivi naona umekunjua roho yako” Alisema Ankoย  Sangaย 

    “Kwanini?”ย 

    “Unanihudumia kama Mumeo tena kwa hiyari yako”ย 

    “Mapenzi yana muda husika, mtu unavyomzoea ndipo unapompendaย  na kumpa kila kitu”

    Alifurahia sana maneno yangu, nikawa nasubiria anipe uhuru waย  kutoka, nilijua kucheza na akili yake aliposahau kufungaย  mlango nilimkumbusha kuwa aliacha mlango wazi, taratibuย  nilianza kumuaminisha kuwa sina nia ya kwenda popote pale.ย 

    Siku moja aliniletea simu, akanipa bila wasiwasi wowote kumbeย  ile simu aliiunganisha na simu yake, naye alikuwa mjanja sanaย  japo nilibadirika lakini hakuniamini, siku zote hizi nilikuwaย  nikisali ili Mama yangu arudi kwenye akili za kibinadamu,ย ย 

    niliamini kuwa siyo akili yake ile kwa jinsi alivyonilea.ย 

    Anko Sanga alipohitaji pesa alifanya mapenzi na mimi lakiniย  alipohitaji starehe alistarehe na Wanawake wengine, wengineย  niliwaona kabisa wakija pale nyumbani, haikuniuma kabisaย  kwasababu sikumpenda lakini nilijifanya kumuonea wivuย 

    “Unanifanyia huvi au sikuridhishi? unataka nikupe nini weweย  Mwanaume?”ย 

    “Veronica usisahau kuwa nimekuoa kwa kazi gani, unatakiwaย  kuniletea pesa na sio mapenzi”ย 

    “Hata kama lakini unapaswa kutambua jinsi ulivyonibadirishaย  hadi nimekupenda”ย 

    “Nimesema fanya kazi yako!” Alikuwa na majibu ya dharau mno,ย  nilimvumilia sababu nilijua nataka nini!ย 

    Ile simu ilikuwa ndogo tu yaani ya kitochi, hivyo ilikuwaย  ngumu kwangu japo kupata namba za Jonas wala za marafikiย  zangu niliosoma nao kama Konzo, Siku moja alirudi akiwaย  amelewa, alikuwa na Mwanamke mmoja ambaye jinsiย  alivyozungumza alikuwa hajalewa kabisa.ย 

    Siku zote kila alipoleta Mtu alikuwa akinifungia chumbani naย  kustarehe chumba Kingine, nikiwa mle chumbani nilipata harufuย  ya Sigara alafu nikasikia sauti ya Mwanamke akiongea kuwaย 

    “Nalala huku huku asubuhi anipe changu, kalewa chakali”ย  nilisikia sauti hii niliitaย ย 

    Nini Kitaendelea? Usikose SEHEMU YA SABA

    JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapaย 

    Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

    Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

    Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896ย 

    8 Comments

    1. Lus twaxie on May 17, 2025 5:13 pm

      Mbn unatuma vpande vfupi

      Reply
    2. Warda on May 17, 2025 5:25 pm

      Damn vero

      Reply
      • Focus on May 17, 2025 9:44 pm

        Endelea pls

        Reply
    3. sebastian axwesso on May 17, 2025 5:26 pm

      Hadithi nzuri sana

      Reply
    4. Cathbert on May 17, 2025 5:38 pm

      Kumechangamka tyr

      Reply
    5. Adam on May 17, 2025 7:53 pm

      Daaaah Huruma Kwa Vero

      Reply
    6. Cute _ sally on May 17, 2025 8:52 pm

      Jmn Hadith nzuri muendelezi plzzz

      Reply
    7. Victoria on May 18, 2025 4:53 pm

      Iyendelee

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi May 19, 2025

    Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Saba-07)

    Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Saba Ile simu ilikuwa ndogo tu yaani ya…

    Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Sita-06)

    Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Tano-05)

    Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Nne-04)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.