Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Pamba Jiji FC Ni Mkombozi Wa Soka Na Maisha Mwanza?
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Pamba Jiji FC Ni Mkombozi Wa Soka Na Maisha Mwanza?

    Oscar EvodiusBy Oscar EvodiusMay 6, 2024Updated:May 6, 20243 Comments2 Mins Read2K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Pamba Jiji
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Pamba Jiji Football Club kurejea kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya Miaka 23 ni fursa kubwa sana katika sehemu tofauti ndani ya Jiji la Mwanza na nchini nzima kiujumla! Ni Miaka kadhaa tangu Mbao na Alliance FC zishuke kwenda Ligi Daraja la Kwanza na kupotelea huko chini bila kuwa na matumaini ya kurejea tena

    Fursa kwa vijana wengi wenye vipaji ndani ya Jiji la Mwanza ni sehemu namba moja ambayo naiona kwa haraka katika urejeo huu wa Pamba FC ndani ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kama utapita jioni ndani ya viwanja vya Nyamagana, CCM Kirumba, SAUT, Nsumba Secondary, Buswelu Secondary, Sabasaba, Mirongo Secondary na viwanja vingine basi utaona vijana wengi sana katika maeneo hayo

    Pili ni eneo la biashara ambalo watu wengi sana watanufaika kuanzia wajasiriamali wadogo mpaka wafanya biashara wakubwa sababu kutakuwa na muingiliano wa Timu nyingi na wageni wengi ndani ya Jiji la Mwanza, eneo hili pia wafanya biashara kutoka nje ya Mwanza bado ni fursa kwao sababu watajitokeza na kusogea karibu na eneo hili ambalo lina fursa tayari

    Uboreshaji wa baadhi ya miundombinu pia ni sehemu ya Jiji la Mwanza kunufaika katika eneo hili hasa sehemu za michezo ambapo fursa ya maboresho ya baadhi ya viwanja kama Nyamagana Stadium na CCM Kirumba ambayo itatumika kwa Asilimia kubwa! Fursa hii ya miundombinu itafunguliwa na uwepo wa Ligi Kuu ndani ya Jiji la Mwanza

    Hivyo ni Miongoni mwa vitu vichache ambavyo Jiji la Mwanza vitanufaika navyo kutokana na uwepo wa PAMBA JIJI FOOTBALL CLUB ndani ya Ligi Kuu ya TANZANIA kuelekea Msimu wa 2024/25! The Time of Rock City to enjoy the beautiful game.

    SOMA ZAIDI: Kibu Kuna Muda Ni Lazima Kukubali Kufanya Maamuzi Magumu

    bingwa wa ligi kuu mwanza Pamba Jiji

    3 Comments

    1. Mr dream on May 6, 2024 9:10 am

      Ikichukuwa kombe la ligi kuu

      Reply
      • Paul anatory ngingo on May 6, 2024 9:35 am

        Mimi nimefrai sana na juwaombea viongozi musidanganywe na vilabu vya simbana yanga

        Reply
    2. Pingback: Je Yusuph Kagoma Ni Mbadala Sahihi Wa Khalid Aucho Yanga? - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.