Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Simba SC Na Roho Ngumu Kwa Mtibwa Sugar Ligi Kuu
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Simba SC Na Roho Ngumu Kwa Mtibwa Sugar Ligi Kuu

    Living ShayoBy Living ShayoMay 3, 2024Updated:May 3, 20245 Comments3 Mins Read785 Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Wachezaji wa simba sc
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Moja Ya mchezo wenye mvuto ndani yake kwani mchezo huo unakutanisha timu mbili tofauti zenye presha mbili tofauti kwani Simba SC anataka kumaliza nafasi Ya pili akiwa na kiwango kisichoridhisha kwenye michezo 6 mfululizo, huku Mtibwa Sugar akioambana kunasuka mkiani na kucheza hatua Ya mtoano.

    Namna timu hizo zinavyocheza zimeonekana zikiwa na matatizo yanayofanana kwani Simba SC wamekuwa na changamoto kubwa kwenye eneo Lao la kuzuia wakiruhusu magoli pamoja na eneo Lao la ushambuliaji kwani wamekuwa wakitengeneza nafasi nyingi za magoli ila wamekuwa wakishindwa kuzitumia, sawa na upande wa Mtibwa Sugar nao wamekuwa wakiruhusu magoli sana hata kama wataibuka na ushindi ila pia wamekuwa wakiruhusu goli sawa na eneo Lao la mwisho wakitengeneza nafasi ila hawazitumii

    Takwimu za timu hizo mbili zilipokutana kwenye michezo yao 5 ya mwisho kikosi cha Simba SC kimefanikiwa kushinda michezo 4 na kutoa sare mchezo mmoja huku wakifunga magoli 14 na wakifungwa magoli 2 tu na kikosi cha Mtibwa Sugar. Mchezaji anayeongoza kufunga magoli mengi kwenye michezo hiyo ni Jean Baleke akifunga magoli 4 akifatiwa na Pape Sakho pamoja na Mateo Antony wote wakiwa na magoli 2, hata hivyo wachezaji wote watatu siyo sehemu mchezo huu tena kwani hawapo kwenye timu hizo.

    Mchezo huu utakuwa wakivutiwa kiuchezaji kwani timu zote hazitofautiani sana kiuchezaji wamekuwa wakiweka mpira chini na kuanzisha mashambulizi kuanzia nyuma kuelekea eneo Lao la ushambuliaji kwenye lango la mpinzani wake, Mtibwa Sugar wamekuwa wakitumia zaidi mabeki 4 na viungo 4 pia huku wakiwa na washambuliaji wawili ambao ni Seif Karihe pamoja na Charles Ilanfya na wakati mwingi wamekuwa wakibadilika na kutumia mawinga wawili na mshambuliaji mmoja. Huku Simba SC wakiwa wanatumia zaidi mabeki 4 viungo wakabaji wawili na eneo la ushambuliaji wakitumia wachezaji 4, mashambulizi mengi Ya Simba SC yamekuwa yakitengenezwa kupitia eneo Lao la kati “kiungo” kutengeneza nafasi za kufunga magoli.

    Mchezo huu eneo ambalo lina hatari zaidi kwa pande zote mbili ni eneo la ushambuliaji hususani kwa Simba SC wamekuwa na wachezaji wazuri kwenye eneo ilo la mwisho la uwanja tofauti na wapinzani wao ambao wamefunga magoli 23 na kuruhusu magoli 39 na kuonyesha kuwa kama Simba SC watakuwa makini ni rahisi kupata goli kwenye mchezo huo.

    Eneo lente changamoto kwa timu zote mbili ni eneo la beki kwani timu zote mbili zimekuwa zikiruhusu magoli kirahisi sana mabeki wa timu zote mbili wamekuwa wakishindwa kutekeleza majukumu yao mama ya kuzuia kwa kufanya makosa mengi ambapo wachezaji wa Simba SC kwa kiasi kubwa makosa yao yamekuwa makosa binafsi Ya wachezaji na wakati mwingine kitimu sawa na Mtibwa Sugar.

    SOMA ZAIDI: Kinachomponza Mgunda Ni ‘Rangi Yake Na Utanzania Wake’

    CAF CHAMPIONS LEAGUE SIMBA SC kikosi cha simba leo simba sc leo simba sc vs mtibwa sugar
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.