Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Uchambuzi Wa Mechi JKT Tanzania vs Yanga Lawama Uwanja?
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Uchambuzi Wa Mechi JKT Tanzania vs Yanga Lawama Uwanja?

    Nazareth UpeteBy Nazareth UpeteApril 24, 2024Updated:April 24, 20244 Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    JKT Tanzania vs Yanga
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Mechi nzuri iliyoathiriwa na hali ya uwanja kwa kiasi fulani kizuri ni kuwa timu zote zilicheza hapo hapo na level ya uhitaji wa matokeo ilikuwa kubwa yenye kutupa ari kubwa ya wachezaji

    Kipindi cha kwanza JKT waliishika mechi vyema mno! Pasi fupi fupi sahihi, pasi ndefu za kumega uwanja, namba nzuri kushambulia lakini makosa yao ni yale yale! Suala la kufunga wao ni gumu kuliko chochote! Hawajashinda tangu Novemba 3, 2023… Wamekosa TOO CLEAR Chances 50 msimu huu!

    Yanga walielemewa kipindi cha kwanza kwenye kiungo Aucho alikosa msaada wa Okrah na wenzie… Alijikuta akihangaika na Ndemla na Kapalata lakini bado alionesha uimara. Kipindi cha pili Aziz KI alipotea mchezoni… Mipango mingi ikafia hapo.

    Katika mchezo wa leo Hassan Nassor Maulid amecheza vyema sana huku akifahamu wazi kuna ugumu kubattle move nyingi akabaki kulinda madhara ya Aziz KI bila kusogea sana. Yanga waliwakuta walinzi wengi wa JKT muda mwingi kwa sababu yeye alibaki kulinda tu ukuta wake kwa nidhamu kubwa. Ndiye Man of the Match wangu leo

    Ibrahim Abdullah Bacca ni complete defender! Anazima miguu yote, juu anaenda, chini yupo… Kipindi cha kwanza yeye alikuwa sababu ya Yanga kuwa salama. Clearance 4 ikiwa double Ni majitoleo makubwa.

    Hassan Kapalata kwenye uwanja rough yeye hakuwa tough ila Smart tu Kapasia sana kwenye mapana ya uwanja na hakuwa muoga kufanya maamuzi yake! Anaangushwa sana na safu ya ushambuliaji.

    Mchezo wa leo Attohoula Yao wa leo na Majitoleo makubwa… Kuziba njia na energy ya kutosha kupanda na kushuka. Yale maji anayomimina yanaweza kuwa masumbufu ya mabeki wengi tu.

    Napenda pasi za kugawa uwanja za Ndemla Kuna muda anafanya mpira uonekane kitu rahisi sana… Akinyanyua tu macho anafanya delivery… So fine and smooth!

    Yule Job ni unsung hero. Kibabage anapaswa kujibidiisha haswa kwenye krosi, usahihi wa hesabu zake za kupanda na kushuka. Farid kwa dakika zake chache amemkumbusha kitu.

    Mbinu ya JKT kujilinda kipindi cha pili ingeweza kuwazulia msala muda wowote! Walikaribisha mafuriko makubwa na wamefanikiwa kuyazuia kwa beseni

    Mamelodi in Mbweni Sassi kawaza sana pale!

    FT’ JKT  0 vs 0 Yanga SC

    SOMA ZAIDI: Pale Simba Shida Sio Mangungu Ni Wachezaji Hawa

    JKT Tanzania vs Yanga

    4 Comments

    1. Agripina mwang'onda on April 24, 2024 6:33 pm

      Uwanja ndo tatizo ikiwezakana ufungiwe kwa ajili ya ukarabati love my team young African hamna baya

      Reply
      • Laus on April 24, 2024 8:11 pm

        Mchezo ulikuwa mzuli kwasababu timu zote zilicheza vizuri lakini uwanja ndo ulikuwa mbovu

        Reply
    2. John m fatihu on April 24, 2024 6:58 pm

      Mechi Kali but very poor pitch

      Reply
    3. Charles James on April 24, 2024 8:12 pm

      Uwanja mpovu sana ule

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.