Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Simba SC Yapitia Changamoto Baada ya Kusuluhu na Namungo
    Africa | CAF

    Simba SC Yapitia Changamoto Baada ya Kusuluhu na Namungo

    Brenda UlomiBy Brenda UlomiNovember 10, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Denis Kitambi, aliyefanya mahojiano na Gift Macha, ameleta mwangaza wa kipekee kuhusu mechi iliyopita ya Simba dhidi ya Namungo.

    Kitambi ameelezea jinsi Namungo walivyodhibiti mechi, akisema, “Kabla ya mechi, ungenipa alama moja naichukua, lakini kwa jinsi mechi ilivyokuwa na nafasi alizopata kwenye counter attacks, amehuzunika kutoshinda mechi.”

    Hii inaonyesha jinsi Namungo walivyokuwa wanajiachia na jinsi walivyotumia fursa zilizojitokeza.

    Simba, kwa upande mwingine, ilionekana kuwa dhaifu na kushindwa kufanya ushindani vizuri.

    Namungo hawakulazimika kutumia nguvu nyingi, kwani Simba haikuwawekea presha.

    Hata hivyo, kuna mambo kadhaa yaliyosababisha Simba kuruhusu bao

    Kukosa umakini wakati wa mashambulizi muhimu.

    Kutokuwa na imani ya kufunga zaidi ya goli moja.

    Wachezaji wengine kukosa kujiamini na kuharakisha maamuzi.

    Simba SC ilionyesha ishara za kuchanganyikiwa kisaikolojia, hali iliyosababisha mchezo kuonekana dhaifu.

    Ni dhahiri kwamba mpira huwa unachezwa kichwani, na Simba ilionekana kukosa mwelekeo wa kisaikolojia.

    Lugha ya mwili ya wachezaji wa Simba ilionyesha ukosefu wa uharaka, pasi zilipotea kirahisi, na hawakufiki kugombania mipira.

    Hii inaweza kuwa ni matokeo ya hasira binafsi kutokana na matokeo mabaya ya mechi iliyopita.

    Inaonekana kwamba Simba inahitaji kurejesha haraka hali yao ya kisaikolojia.

    Mchambuzi wa Wasafi (George Anbagile) anatoa maelezo kuhusu baadhi ya wachezaji, akiwapongeza wengine kama Jean Baleke na Moses Phiri, na kutoa matumaini kwa mustakabali wa timu.

    Kwasasa, Simba inahitaji kufanya marekebisho ya haraka mnoo na kujiandaa vizuri kwa mechi zijazo ili kurudisha heshima yao na kurejesha mwelekeo wa kisaikolojia na kimwili kua tayari kupambania nembo ya klabu yao

    Soma zaidi: Habari zetu kama hizi hapa

    namungo Simba
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.