Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Man United Wapambana Kumleta Geyse Old Trafford
    Biriani la Ulaya

    Man United Wapambana Kumleta Geyse Old Trafford

    David MohamedBy David MohamedJune 26, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Manchester United wanajaribu kumsajili mshambuliaji Mzaliwa wa Brazil, Geyse, kutoka Barcelona.

    United wanatafuta kumrithi Alessia Russo, ambaye aliamua kuondoka katika klabu hiyo baada ya mkataba wake kumalizika.

    Vyanzo vya karibu na klabu vilieleza kwamba Geyse, ambaye alishinda La Liga na Ligi ya Mabingwa katika msimu wake wa kwanza na Barca, ni mmoja wa wachezaji wanaopewa kipaumbele.

    Geyse ana mwaka mmoja uliobaki katika mkataba wake, hivyo United itahitaji kukubaliana na Barcelona kuhusu ada ya uhamisho.

    Mshambuliaji huyo alimaliza wa pili kwa kutoa asisti katika Ligi ya Mabingwa msimu uliopita na pia kuwa na rekodi ya Mchezaji wa tatu mwenye kasi zaidi.

    Geyse, ambaye alianza kwa kucheza timu ya taifa ya Brazil akiwa na umri wa miaka 19, anatarajiwa kucheza jukumu muhimu kwa nchi yake katika Kombe la Dunia msimu huu.

    United wanatafuta kuimarisha kikosi chao baada ya kumpotezaa Alessia Russo na Ona Batlle katika wiki mbili zilizopita.

    Wachezaji wote walikuwa muhimu katika kuhakikisha United inashiriki Ligi ya Mabingwa kwa mara ya kwanza lakini United haikuweza kuwabakisha kwa mikataba mipya.

    Inaeleweka kuwa wawakilishi wa Russo walikuwa na mshangao na jinsi mchakato wa mazungumzo ulivyokuwa mrefu na mgumu.

    Polly Bancroft, Mkuu wa soka la wanawake wa United, alikuwa ameanza mazungumzo kabla ya Sam Barnett, anayesimamia mikataba upande wa wanaume, kuja kusaidia.

    United walikuwa na imani kwamba walitoa kwa mshambuliaji huyo ofa nzuri, ambayo ingemfanya kuwa mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi katika historia ya klabu.

    Lakini sasa anatarajiwa kujiunga na Arsenal, ambao walikataa ombi la rekodi ya dunia mwezi Januari, kwa uhamisho huru.

    Kwa taarifa zaidi za usajili tufuatilie hapa.

    barca barcelona. soka la wanawake Geyse habari za man united man united Manchester United
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.