Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Nicolas Jackson akamilisha usajili Chelsea FC
    Biriani la Ulaya

    Nicolas Jackson akamilisha usajili Chelsea FC

    David MohamedBy David MohamedJune 26, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Nicolas Jackson
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Nicolas Jackson ana kifungu cha kuvunja mkataba cha €35m (£30.1m) katika mkataba wake na Villarreal, Bournemouth walikubaliana kumsajili mchezaji huyo wa kimataifa wa Senegal mwezi Januari lakini alishindwa vipimo vya afya kutokana na tatizo la nyama za paja.

    Jackson alifunga mabao 13 katika mechi 38 kwa niaba ya Villarreal msimu uliopita, akizidi ufanisi wa washambuliaji wa Chelsea.

    Nicolas Jackson amekamilisha vipimo vya afya kabla ya kuhamia Chelsea kutoka Villarreal.

    Jackson amekuwa lengo muhimu kwa Chelsea msimu huu wanapojaribu kufanya mabadiliko katika safu yao ya ushambuliaji baada ya kumsaini Christopher Nkunku kutoka klabu ya Ujerumani RB Leipzig.

    Katika mashindano yote msimu uliopita, Jackson alifunga mabao 13 na kutoa asisti tano kwa niaba ya Villarreal na uthibitisho rasmi wa uhamisho wake kwenda Stamford Bridge unatarajiwa katika siku zijazo.

    Hata hivyo, Jackson si jina lenye mvuto kama wengi walivyokuwa wakitumaini msimu huu.

    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, alipandishwa kikosi cha kwanza cha Villarreal msimu uliopita, na angejiunga na Bournemouth mwezi Januari kama asingeshindwa vipimo vya afya.

    Kwa taarifa zaidi za usajili tufuatilie hapa.

    chelsea fc habari za chelsea Nicolas Jackson tetesi za usajili usajili villareal
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.