Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Dickson Ambundo afunguliwa Mlango Dodoma Jiji FC
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Dickson Ambundo afunguliwa Mlango Dodoma Jiji FC

    David MohamedBy David MohamedJune 14, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Imeelezwa kuwa Staa wa Yanga, Dickson Ambundo anaweza akarejea tena Dodoma Jiji kutokana na kukosa namba ndani ya kikosi hicho, ambapo Jesus Moloko anaonekana kuwa kwenye kiwango cha juu.

    Habari za ndani zinasema tayari uongozi wa Dodoma Jiji umeanza kufanya mazungumzo na mchezaji huyo na kama mambo yakienda sawa basi msimu ujao atakuwa sehemu ya kikosi chao.

    “Ni mchezaji mzuri sana, ndani ya kikosi cha Yanga kuna ushindani mkali hivyo kutocheza mara kwa mara kunamfanya aonekane ameshuka kiwango,” alisema mmoja wa kiongozi wa Dodoma Jiji.

    Dickson Ambundo anasifika kwa kasi yake ya haraka na uwezo wake wa kucheza kama mshambuliaji na mchezaji wa pembeni. Amejulikana kwa uwezo wake wa kuwabwaga mabeki na kupenya katika safu ya ulinzi ya timu pinzani. Pia, anao uwezo wa kufunga magoli na kutoa pasi za mwisho kwa wenzake.

    Mbali na hayo, Ambundo amekuwa akitoa mchango mkubwa katika timu ya Yanga SC na timu ya taifa ya Tanzania, akionyesha umahiri wake katika ligi za ndani na mashindano ya kimataifa. Uwezo wake wa kiufundi, ujasiri na ubunifu umemfanya awe mchezaji muhimu katika timu yake.

    Kwa taarifa za usajili ligi mbalimbali duniani tufuatilie hapa.

    Dickson Ambundo

    dickson ambundo dodoma jiji fc habari za usajili jangwani tetesi za usajili treble wananchi yanga yanga bingwa yanga sc
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi July 23, 2025

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii.…

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-06

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.