Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Simba waangukia PUA Kumnasa Bajana
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Simba waangukia PUA Kumnasa Bajana

    David MohamedBy David MohamedJune 12, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kama mashabiki wa Simba walikuwa wakijiandaa kumuona Kiungo fundi wa kupiga mashuti makali, Sospeter Bajana kutoka Azam FC, basi pole yao kwani, mabosi wa Chamazi wameamua kumzuia jumla kwa kumuongezea mkataba wa miaka miwili hadi mwaka 2025.

    Simba ilikuwa kwenye mipango ya kumnasa Bajana na kumpa mkataba wa awali ili avae uzi wa klabu hiyo kwa msimu ujao baada ya kubaini mkataba wake na Azam ulikuwa ukingoni mwishoni mwa msimu huu, lakini ghafla upepo umebadilika.

    Mabosi wa Azam baada ya kugundua Simba ilikuwa ikimnyemelea nahodha huyo na kuamua kumpa mkataba mpya, hivyo kuipa kazi Simba kuhaha kusaka kiungo mwingine sehemu nyingine.

    Azam imeamua kumbakiza kikosini hapo kiungo huyo aliyekulia kwenye akademi ya timu hiyo kabla ya kujiunga na timu kubwa, baada ya kumaliza mkataba na kuonekana kuwindwa na klabu ya Simba.

    Moja ya kiongozi wa juu wa Azam (jina tunalo), amethibitisha kumpa mkataba mpya Bajana na sasa kinachosubiliwa ni kutangazwa tu ambapo zoezi hilo litafanyika baada ya fainali ya Kombe la TFF (ASFC), itakayopigwa Juni 12, mwaka huu, Mkwakwani Tanga.

    “Bajana haendi popote, tayari amesaini mkataba mpya wa miaka miwili hivyo kama kuna timu zilikuwa zinammendea ndio imeshakula kwao.

    Ni kweli alikuwa anamaliza mkataba msimu huu lakini tumemuongezea na tunatarajia kutangaza baada ya kumaliza fainali ya ASFC. Sio  yeye tu, bali na wachezaji wengine wengi tu tumewaongezea mikataba.”

    Azam Simba simba na azam simba sc tetesi za usajili
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.