Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Rais Samia alipia Ndege Yanga kwenda Mbeya
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Rais Samia alipia Ndege Yanga kwenda Mbeya

    David MohamedBy David MohamedJune 5, 20234 Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Rais Samia Suluhu Hassan ameilipia klabu ya Yanga ndege maalumu ya kuwapeleka mkoani Mbeya kucheza michezo yao miwili ya Ligi Kuu Bara kutokana na mwingiliano wa ratiba.

    Jana Juni 4, 2023 Mhe. Rais aliwaalika Yanga chakula cha jioni Ikulu leo Jumatatu ambapo ratiba hiyo iliingiliana na safari ya klabu hiyo kuelekea mkoani Mbeya.

    Akizungumza katika radio ya Wasafi jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Juni 5, 2023 Rais wa klabu hiyo, Hersi Said amesema kutokana na mwingiliano huo wa ratiba uliotokea Rais Samia ameilipia Yanga ndege maalumu kuwapeleka Mbeya baada ya chakula cha jioni.

    Rais Samia awaalika Young Africans SC

    “Ndege yetu ambayo tulitakiwa kuondoka nayo kwenda Mbeya ilikuwa ni saa 1 usiku lakini kwasababu ya mwaliko wa Rais Ikulu leo jioni tulimpa taarifa kuhusu safari yetu na sasa amelipia ndege maalumu kutupeleka Mbeya,”amesema Hersi.

    Hersi amesema ndege hiyo iliyolipiwa na Rais Samia itaondoka saa 5 usiku baada ya kumaliza mazungumzo na chakula cha jioni.

    Yanga atakuwa mkoani Mbeya katika mechi dhidi ya Mbeya City itakayopigwa kesho Juni 6, na kumalizia na Tanzania Prisons Juni 9, 2023.

    Yanga imepata mwaliko huo na Rais Samia baada ya kumaliza mshindi wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) mwaka 2022/2023.

    Kwa taarifa zaidi tufatilie hapa.

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.