Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » ‘Fei Toto’ Kutimkia Singida Big Stars, Maandalizi ni Safi
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    ‘Fei Toto’ Kutimkia Singida Big Stars, Maandalizi ni Safi

    David MohamedBy David MohamedMay 31, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Baada ya Singida Big Stars kujihakikisha nafasi ya kucheza michuano ya kimataifa kwa msimu ujao, tayari mabosi wa timu hiyo wako kwenye mazungumzo na kiungo wa KMKM, Khalid Habibu ‘Fei Toto’.

    Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zilieleza kuwa mchezaji huyo amependekezwa na benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Hans Van Der Pluijm ili akakichezee kikosi hicho kwa msimu ujao.

    Wachezaji wa Singida Big Stars wakishangilia bao dhidi ya Yanga SC katika mchezo wao wa mapinduzi cup

    “Mazungumzo baina ya mchezaji na viongozi wake yako kwenye hatua nzuri na kilichobaki ni mambo madogo tu, tuna amini sana uwezo alionao na ndio maana tunamuhitaji,” kilisema chanzo hicho.

    Kocha Mkuu wa KMKM, Hemed Suleiman ‘Morocco’ akizungumzia jambo hilo alisema nyota huyo bado ana mkataba wa mwaka mmoja na timu hiyo hivyo suala la kuondoka kwake na kusaini kwingine hafahamu.

    Kwa upande wa Kocha, Pluijm akizungumzia hilo alisema malengo yao kwa sasa ni kumaliza msimu huu kwanza na baada ya hapo atapeleka ripoti kwa viongozi wake kwa ajili ya maandalizi yao yajayo.

    Taarifa za awali nyota huyo amewekewa mkataba wa miaka miwili ndani ya Singida huku akisifika kwa uchezaji wake mzuri ambao anafananishwa na mchezaji wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto‘.

    Khalid anaungana na nyota mwingine beki wa kulia, Nicholaus Wadada aliyejiunga pia kwenye kikosi hicho akitokea Ihefu.

    Singida Big Stars wamekuwa na mafanikio yao wenyewe na wameonyesha uwezo wao katika mashindano ya ndani ya Tanzania.

     

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.