Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto
    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (01)

    Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2025

    AFCON

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Osimhen amebakiza mechi moja kabla ya kushinda taji akiwa na Napoli
    Biriani la Ulaya

    Osimhen amebakiza mechi moja kabla ya kushinda taji akiwa na Napoli

    Brenda UlomiBy Brenda UlomiApril 24, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Mshambulizi wa Super Eagles, Victor Osimhen amebakiza mechi moja kabla ya kubeba ubingwa wa Serie A akiwa na Napoli.

    Viongozi wa ligi hiyo walihitaji bao la dakika za lala salama kutoka kwa Giacomo Raspadori kushinda 1-0 dhidi ya Juventus Jumapili.

    Wenyeji waliona mabao mawili yakitolewa kufuatia ukaguzi wa VAR.

    Bao la Raspadori linaifanya Napoli kwenda mbele kwa pointi 17 ikiwa na pointi 78.

    Vijana wa Luciano Spalletti wanaweza kunyakua taji wikendi ijayo ikiwa watashinda Salernitana na Lazio kushindwa kushinda kwa Internazionale.

    Juventus inasalia nafasi ya tatu kwa pointi 59, mbili nyuma ya Lazio iliyo nafasi ya pili ambayo ilipoteza dhidi ya Torino siku ya Jumamosi.

    napoli Osimhen serie a
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua
    Hadithi February 2, 2026

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (01)

    Ilipoishia SEASON 1  Kwasasa nimerudishwa kwetu Dar-es-salaam, niko Magomeni. Maisha yangu yamekuwa ya  Ukimya sana,…

    Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2025

    AFCON

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.