Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Ronaldo sababu ya mabadiliko ya Man United chini ya Ten Hag
    Biriani la Ulaya

    Ronaldo sababu ya mabadiliko ya Man United chini ya Ten Hag

    Brenda UlomiBy Brenda UlomiApril 19, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    MSHAMBULIAJI wa zamani wa Manchester United, Garth Crooks, amedai kuwa kumuondoa fowadi Cristiano Ronaldo ndio msingi wa mabadiliko ya klabu hiyo chini ya Erik ten Hag msimu huu.

    Manchester United wamepanda hadi nafasi ya tatu kwenye jedwali la Premier League kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya Nottingham Forest Jumapili.

    Mabao kutoka kwa Antony na Diogo Dalot yaliwapa vijana wa Ten Hag ushindi kwenye Uwanja wa City Ground.

    “Manchester United ilikuwa mojawapo ya timu chache ambazo hazijafungana wikendi hii, lakini kilichokuwa cha pekee ni kwamba United imeharibiwa na majeraha,” Crooks aliandika katika safu yake ya BBC Sport.

    “Shukrani zote kwa Erik ten Hag, ambaye hajabadilisha tu timu bali kikosi kizima tangu Cristiano Ronaldo kuondoka.

    “Kumuondoa Ronaldo ilikuwa muhimu kwa hilo.”

    Ronaldo aliondoka Man United na kujiunga na Al-Nassr kwa uhamisho huru baada ya mkataba wake na Man United kuvunjwa kwa makubaliano.

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.