Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: riwaya za kusoma mtandaoni
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Kwanza “Nitaongea na Mama yako” alisema kisha tuliendelea na safari ya kuelekea Kanisani, tulipofika nilimuacha akanipatia pesa kama Elfu…
Niliomba niletewe Binti yangu pale Gerezani, Mama Sofia alimleta Moyo. Nilimkumbatia Mwanangu hadi nikahisi faraja iliyo pitiliza. “Umeongea na Wakili vizuri?” aliniuliza Mama Sofia, nilimtazama na…
Ilipoishia Nyumba Juu Ya Kaburi 06 Nilikua nikihema, Wazazi wangu walikua wamesimama vile vile kama Watu wasiojitambua. Yule Bibi aliendelea kunisogelea huku mguu wake mmoja akiwa…
Ilipoishia Nyumba Juu Ya Kaburi 05 Taratibu nilitembea kuelekea mbele ya gari kumsikiliza yule Mwanaume, alikua mnene kiasi na pia alikua na ndevu nyingi mfupi wa…
Ilipoishia Nyumba Juu Ya Kaburi 04 “Unamkumbuka Zena?” nilimuuliza, alionekana kutafakari kidogo kisha akaniuliza “Yule rafiki yako?” “Ndiyo!” “Kimetokea nini?” aliniuliza kwa shahuku kubwa sana, sura…
Ilipoishia jana ” Mkononi Mzee huyo alikua ameshikilia Bastola nyeusi ndogo, hapa Daudi akashindwa kufasili kwa haraka haraka ni kwanini alikua na Bastola ambayo haikuonekana kutumika.…
UTANGULIZI Ulikua ni Usiku mwingi, mvua kubwa ilikua ikinyesha ikisindikizwa na radi za hapa na pale,ndani ya kasri moja la kitajiri palionekana kua kimya sana huku…