Mambo vipi mwana KIJIWENI bila shaka uko poa kabisa. Leo nina mjadala mdogo tu ambao nadhani inapaswa tujadiliane hapa na ninachotaka kusema ni kuwa kuna mastaa wengi wa soka kutoka nchi nyingine ambao tumeshuhudia wakikipiga soka hapa nchini na wengine bado wapo wanaendelea kusakata Ligi Kuu.

Je, Mchezaji gani wa nje amekuwa bora zaidi wa muda wote kwako?

SOMA ZAIDI:

1: Pale Simba Shida Sio Mangungu Ni Wachezaji Hawa 

2: Waraka Mzito Wa Hamisi Kigwangalla Kuhusu “Kuinunua Simba”  

 

Leave A Reply

Exit mobile version